Michango hiyo imekusanywa kutokana na kampeni iliyoanzishwa na kituo hicho iliyopewa jina la Amka na Jetman.
Wakati huo huo mbunge wa jimbo la Nyamagana, Stanslaus Mabula amechangia kiasi cha shilingi milioni tano kwa ajili ya matibabu hayo. Kiasi cha takribani milioni 20 kimekusanywa katika kampeni hiyo.
Jetman amekuwa kitandani kwa takriban miaka mitano kutokana na tatizo la kupooza mgongo.
Hakuna maoni :
Chapisha Maoni